Kuna jamaangu kahitaji msaada. Ameniuliza ili ampime DNA mtoto wake mdogo wa miezi kadhaa afanyeje? Yaani process ikoje? Aende na mtoto hospitali? Je ni hospitali ipi Dar yenye huduma hiyo? Je gharama zake ni vipi?
Mimi nimekwama. Lakini nikamwahidi nitajaribu kuuliza kwa wadau. Tafadhali tiririkeni!
Mimi nimekwama. Lakini nikamwahidi nitajaribu kuuliza kwa wadau. Tafadhali tiririkeni!