Afanyaje ili abaki chuo cha zamani?

Alexander McQueen

Senior Member
Aug 30, 2016
183
41
Ndugu wana jf poleni na majukumu kuna ndugu yangu alichaguliwa chuo cha mwalimu nyerere memorial then siku moja aliingia kwenye profile yake ya nacte akajaribu kuomba uhamisho pindi hawafunga dirisha la application kama mchezo vile mara wakamletea comfirm akijua hawatakubali maana hajaripa mara wakamkubalia na kumtumie ujumbe mfupi wa maandixhi kwamba maombi yake yamepokelewa baada ya siku wakamtarifu ombi lake limekubaliwa na akawa amepata chuo cha bustani teachers college sasa bac dogo anawaza afenyeje iLi abaki chuo cha zamani maana,ada na kila ki2 ameixha lipa na no ya usajiri aliishapata kwenye chuo cha awali je afenyeje ili abaki hapo hapo ushari please
 
Ndugu wana jf poleni na majukumu kuna ndugu yangu alichaguliwa chuo cha mwalimu nyerere memorial then siku moja aliingia kwenye profile yake ya nacte akajaribu kuomba uhamisho pindi hawafunga dirisha la application kama mchezo vile mara wakamletea comfirm akijua hawatakubali maana hajaripa mara wakamkubalia na kumtumie ujumbe mfupi wa maandixhi kwamba maombi yake yamepokelewa baada ya siku wakamtarifu ombi lake limekubaliwa na akawa amepata chuo cha bustani teachers college sasa bac dogo anawaza afenyeje iLi abaki chuo cha zamani maana,ada na kila ki2 ameixha lipa na no ya usajiri aliishapata kwenye chuo cha awali je afenyeje ili abaki hapo hapo ushari please
[HASHTAG]#Sasa[/HASHTAG] alishafanya malipo [HASHTAG]#mwalmnyerere[/HASHTAG],sasa ikawaje afanya mzaha mzaha kufanya transfer
 
mkuu pole sana,wew kwa jinsi unavoandika....pia pole zngne zimfikie mdogo wako,inaonesha hampo serious kabisa na mambo ya msing kama haya na ambayo hayahitaji mzaha.
 
Back
Top Bottom