Gabriel senior
New Member
- May 20, 2019
- 3
- 1
Ni moja ya msanii mzuri wa hip hop bongo pia mziki wake unaheshimika lakini toka ameacha kuimba na kuingia kwenye siasa huyu kinachomfelisha ni kutokuwa na msimamo. Mara CHADEMA,ACT na sasa hivi yupo CCM.
Kama unataka upate ubunge tulia ndani ya CHAMA kimoja kama walivofanya wakongwe wenzako kama Mh. SUGU na Profesor Jay la sivyo ubunge utausikia tu.
Naamini ukitulia wanamoro wanavokukubali watakupa jimbo baba Tunda!!
Kama unataka upate ubunge tulia ndani ya CHAMA kimoja kama walivofanya wakongwe wenzako kama Mh. SUGU na Profesor Jay la sivyo ubunge utausikia tu.
Naamini ukitulia wanamoro wanavokukubali watakupa jimbo baba Tunda!!