mwanasiasahalisi
Member
- Feb 22, 2017
- 6
- 16
Kama mmefatilia sana akaunti za Instagram za Afande Sele baada ya hukumu ya Lulu kutoka ni mtu ambaye dizain anamlaumu Marehemu ‘Kanumba’ kuzama kwny dimbwi la mapenzi na binti mdogo ‘Lulu’ ambaye anasema kwa kupindi kile alikua mdogo sana.
Upande wa Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ dizain kama kamuwakia hivi Afande Sele kwa kumwambia kuwa mtu ambaye katangulia mbele za haku hatakiwi kusemwa kwa mabaya tena...!
Upande wa Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ dizain kama kamuwakia hivi Afande Sele kwa kumwambia kuwa mtu ambaye katangulia mbele za haku hatakiwi kusemwa kwa mabaya tena...!