Tatizo la mashekhe wengi hawakupata Elimu ya kawaida wao muda wote wanawaza adhabu na kifo waislamu wengi wapo jela hata siku moja hawakuwahi kuwaombea dua wamekuwa wanafiki kujiingiza kwenye mambo yasiyowahusu...
Wao tu waseme kama wanamroga tujue mojaKwani Mungu hakuona mpaka akumbushwe? Mambo mengine tusiforce. Kama Mungu kaona kamkosea akaamua ampe adhabu atampa kwa muda wake na kwa njia zake.
Nakumbuka siku ile ukikoment kwenye uzi wa mwana kijijini huku ukitetemeka 'wanajamvi mnaanglia tbc? Ukaulizwa' kwani kuna nini? Magufuli kafarikiKifo cha afande nacho kimekua siri kama raisi mbona hatutangaziani?
Hahaha.....Kwenye uzi wenye taarifa rasmi ya msiba no nili comment ila comment zote mods wakapita nazoNakumbuka siku ile ulikoment kwenye uzi wa mwana kijijini huku ukitetemeka 'wanajamvi mnaanglia tbc? Ukaulizwa' kwani kuna nini? Magufuli kafariki
Kajibu hivyo hivyo,na akampa Sheikh siku 10,wakamuombe msamaha otherwise wanakiona cha mtemakuni 😅😅😅Miungu ipo mingi sana sasa afande sele alikuwa anamlalamikia mungu yupi?/pengine mungu aliyekuwa analalamikiwa hakuwa mungu wa Hugo sheikh wetu!