Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mbona unakula nyama tena fariani tunajuwa wao mboga na matunda wewe uko kundi LA kuwa dired rasta bila kuwa rasta farian kwa kutii kitabu kikuu NABINI ODER? nyowa manywele hayo bwanaAfande Sele: Hali ya Maisha Tanzania Ningumu sana mpaka imekuwa "Hatarishi"
Atafute kiki ya kupata sent za ugali kama ndugu yake duduAfande Sele: Hali ya Maisha Tanzania Ningumu sana mpaka imekuwa "Hatarishi"
HahahahaYeye si kafuga rasta mavu.mzi sasa kwanini hali isiwe mbaya huwa haogi...
HahaaahaYeye si kafuga rasta mavu.mzi sasa kwanini hali isiwe mbaya huwa haogi...
Kwa hizi pesa mlizogawana lazima yawe matamuMaisha matamu sana walahi
Totally wonderful life!
we jamaa sijui huwa unakula hao mashog@ mana kila anayewapinga mashog@ unamsemaAtafute kiki ya kupata sent za ugali kama ndugu yake dudu
Alikosea kuhama chama zama zisiO na mnada, ingekuwa sasa hivi asingeskosa hata ka milioni 20 akapoza njaaAfande Sele: Hali ya Maisha Tanzania Ningumu sana mpaka imekuwa "Hatarishi"
Kwani si ulikua jeshini ukajiona mbabe kwakua ushavaa gwanda kudharau raiaAfande Sele: Hali ya Maisha Tanzania Ningumu sana mpaka imekuwa "Hatarishi"
Kada wenu huyo,kibubu kimeisha bange anaona nyota nyota! Mnunulieni puli mbili apulize atulize wenge! Ila hali kweli mbaya!Hahahaha
Uwiii
Kichwa chake kiko mawinguni kila saa walahi