Afande Sele: Awamu ya tano Zitto Alikuwa anapinga kila Kitu, leo yupo Kimya

Hiki kiumbe ni cha kuogopwa kama Ukoma,toka yuko CHADEMA ni Mdini,Mnafiki,Ndumilakuwili na Msaliti wa Dunia,I dont know anapata wapi Moral Authority ya kuzungumza kama Kiongozi wa Chama nashangaa kwakweli Watanzania tumelogwa,Huyu angekuwa nchi za watu wanaojielewa Kura ni yake peke yake hata Mkewe hawezi kumpigia.
 
Nilichokisoma hapa CHADEMA wanajiona sahihi kuliko Zito ila hii ni chuki mliyojazwa tu kiukweli hata Mimi siwezi kutetea watu waliotaka kunipa sumu
 
Zitto tokea atoke kwenye ile Ziara ya Somaliland yupo kimya sana sijui ni nini kilichomsibu.
Huyu dogo ni mnafiki kwa kiwango cha kimataifa.

Subirini mda sii mrefu mtapata habari zake.

Ataanza kumsifu Mama na atapata uteuzi.
Wait and see
 
Nilichokisoma hapa CHADEMA wanajiona sahihi kuliko Zito ila hii ni chuki mliyojazwa tu kiukweli hata Mimi siwezi kutetea watu waliotaka kunipa sumu
Nchi hii siku hizi wajanja wanatengeneza misukule kwaajili ya kuwatetea na kuyapiga pesa.

Kosa la Zitto ni kukosana na mbowe na kubaki relevant kwenye siasa, ndio maana wakielewana hii misukule yote inakaa kimya. Wote waliokosana na Mbowe kina Kafulila, Said Arfi, Kitila Mkumbo, chacha Wangwe huwa wanapotea kwenye game, ukionekana unakaza unakaribisha vita isiyo na mwisho na misukule.

Zitto ana chama chake lakini misukule ya mbowe huwa inamshurutisha na kumtisha aunge mkono agenda na harakati za CDM.

In short misukule ya mbowe haina tofauti na ile ya Gwajima.
 
"Awamu ya tano Zito Kabwe alikuwa anapinga kila kitu hata yaliyokuwa ndani ya Ilani ya Chama chake,leo yupo kimya pamoja na maswahibu yote yanayowapata wananchi kwenye Kodi za umauti za Miamala ya simu pamoja na viongozi wenzake wa kisiasa kama Freeman Mbowe " Afande Sele


Huyu mvuta bangi si wapo pamoja na Zitto CCM?
 
Nchi hii siku hizi wajanja wanatengeneza misukule kwaajili ya kuwatetea na kuyapiga pesa.

Kosa la Zitto ni kukosana na mbowe na kubaki relevant kwenye siasa, ndio maana wakielewana hii misukule yote inakaa kimya. Wote waliokosana na Mbowe kina Kafulila, Said Arfi, Kitila Mkumbo, chacha Wangwe huwa wanapotea kwenye game, ukionekana unakaza unakaribisha vita isiyo na mwisho na misukule.

Zitto ana chama chake lakini misukule ya mbowe huwa inamshurutisha na kumtisha aunge mkono agenda na harakati za CDM.

In short misukule ya mbowe haina tofauti na ile ya Gwajima.
Ni ujinga tu mda mwingine inabidi tuwakubali wale tunaotifautiana nao mawazo na si kuwafanya maadaui zetu
 
Back
Top Bottom