Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 549
- 785
Hiki kiumbe ni cha kuogopwa kama Ukoma,toka yuko CHADEMA ni Mdini,Mnafiki,Ndumilakuwili na Msaliti wa Dunia,I dont know anapata wapi Moral Authority ya kuzungumza kama Kiongozi wa Chama nashangaa kwakweli Watanzania tumelogwa,Huyu angekuwa nchi za watu wanaojielewa Kura ni yake peke yake hata Mkewe hawezi kumpigia.