Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Ni mtu wa maslahi snI am not an Afande Sele fan. Not one bit.
Lakini, kuna vikao fulani nilikaa na Zitto awali mwakanhuu nika detect kama ana protectionism kwa huyu rais mpya.
Nikafikiri labda ni katika falsafa nzima ya "give her some time" tu.
Lakini kadiri muda unavyoenda simsikii Zitto.
Amekuwa compromised na mfumo?
Anaji compromise mwenyewe kwa kutaka ukaribu na serikali?
Anasema hatujasikia tu?