GTA
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 878
- 649
Msanii wa muziki Bongo, Afande Sele (Mfalme wa Rhymes) amemvaa vikali msanii mwenzie, Mrisho Mpoto kufuatia madai kuwa alihusika kutoa baadhi ya wasanii katika wimbo maalum uliotungwa kwa ajili ya uzalendo na kumuweka Christian Bella wakati si raia wa Tanzania.
Afande Sele amedai kitendo hicho ni kuwakosea heshima wasanii wa Tanzania na Watanzania wenyewe. Msikilize hapo chini akifunguka zaidi pia Mrisho ajibu.
Credit: Bongo5
Afande Sele amedai kitendo hicho ni kuwakosea heshima wasanii wa Tanzania na Watanzania wenyewe. Msikilize hapo chini akifunguka zaidi pia Mrisho ajibu.
Credit: Bongo5