Afande nzowa mgongano wenu wa kimasilah msituhusishe watanzania

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,955
22,133
Kama kuna upuuzi nisiyo taka ni polisi kutangaza unafiki mbele ya watanzania
kuna swala linaniumiza sana kuna huyu bana anajiita nzowa ametangaza kukamata muiran lakaini ukweli halisi anajua amekuwa akiingiza madawa za kulevya na amekuwa akidirect baadhi ya polisi kuwasimamia wapitisha madawa ya kulevya leo ametoka wapi na muiran kuonekana mubaya

kama kuna mgongano wa kaimasilahi na wairan tunaomba msituhusishe wakati akiwa anapitisha kila siku pale airport akuna alikeuwa akipiga kelele leo amekataa kutoa cha uvunguni anadaiwa kukamatwa wakati fika wa alikuwa masaki na wao wakiwa kwenye payroll ya muiran

Mwisho nasikitika kutangaza akuna kesi yoyote hapo itabakia story atakamatwa atatoa hela kama ajaachiwa na nzowa basi DPP
 
Huwa wanawapitisha na kula mgao...leo inaelekea kuna mtu amekosa akakomaa.kesi kama kawaida hawafungwi na vidhibiti vinarudi kuuzwa mtaani kwa tejas
 
Aiseee
kunywa vasrooooooooooo jfgarden niachie invoice
umeonaaaaaaaaaaaaaaaaa eeeeeeeeehhhhhhhhhhhhhhhhhhh
kweli utaki unafiki
 
Back
Top Bottom