Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,133
Kama kuna upuuzi nisiyo taka ni polisi kutangaza unafiki mbele ya watanzania
kuna swala linaniumiza sana kuna huyu bana anajiita nzowa ametangaza kukamata muiran lakaini ukweli halisi anajua amekuwa akiingiza madawa za kulevya na amekuwa akidirect baadhi ya polisi kuwasimamia wapitisha madawa ya kulevya leo ametoka wapi na muiran kuonekana mubaya
kama kuna mgongano wa kaimasilahi na wairan tunaomba msituhusishe wakati akiwa anapitisha kila siku pale airport akuna alikeuwa akipiga kelele leo amekataa kutoa cha uvunguni anadaiwa kukamatwa wakati fika wa alikuwa masaki na wao wakiwa kwenye payroll ya muiran
Mwisho nasikitika kutangaza akuna kesi yoyote hapo itabakia story atakamatwa atatoa hela kama ajaachiwa na nzowa basi DPP
kuna swala linaniumiza sana kuna huyu bana anajiita nzowa ametangaza kukamata muiran lakaini ukweli halisi anajua amekuwa akiingiza madawa za kulevya na amekuwa akidirect baadhi ya polisi kuwasimamia wapitisha madawa ya kulevya leo ametoka wapi na muiran kuonekana mubaya
kama kuna mgongano wa kaimasilahi na wairan tunaomba msituhusishe wakati akiwa anapitisha kila siku pale airport akuna alikeuwa akipiga kelele leo amekataa kutoa cha uvunguni anadaiwa kukamatwa wakati fika wa alikuwa masaki na wao wakiwa kwenye payroll ya muiran
Mwisho nasikitika kutangaza akuna kesi yoyote hapo itabakia story atakamatwa atatoa hela kama ajaachiwa na nzowa basi DPP