OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Walahi kati ya vita vikubwa alivyonavyo Mh. Magufuli ni rushwa ndani ya jeshi la polisi. Leo kwa macho yangu nimeshuhudia Afande moja mwenye namba G1614 (Linus) akiwa maeneo ya Sayansi akipokea rushwa kama njugu. Askari huyo amekuwa na utaratibu wa kusimamisha magari na kuomba rushwa kwa ulazima.
Mytake:
Kwa wakazi wa Dar, kwa sasa msikubali kutoa fedha mkononi, kuna mashine za TRA, na pindi mkikamatwa hakikisheni mnapewa risiti za TRA... Na unaweza kulipa faini ndani ya simu 7... Vile vile, naomba Jeshi la Polisi limchunguze afande huyu mara moja..
Mytake:
Kwa wakazi wa Dar, kwa sasa msikubali kutoa fedha mkononi, kuna mashine za TRA, na pindi mkikamatwa hakikisheni mnapewa risiti za TRA... Na unaweza kulipa faini ndani ya simu 7... Vile vile, naomba Jeshi la Polisi limchunguze afande huyu mara moja..