Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
Maafande wa dar
Maafande wa dar
Hiyo imeanguka leo asubuhi, ilikua inatokea G/Lamboto kwa akina Mwajuma nichokonoe to townAjali imetokea lini na wapi?
Hiyo imeanguka leo asubuhi, ilikua inatokea G/Lamboto kwa akina Mwajuma nichokonoe to town
Pole sana mkuu, hii habari tuliilata humu asubuhi......Sijasikia kbs habari ya hii ajali ile treni inavyojaza watu
Aliyepiga hiyo Picha ndo kazi iliyompeleka paleJe na huyo aliyepiga hii picha mbona humsemi?
Ni vizuri wakawa na wapiga picha kama hao,sio kesho na kesho kutwa muha kashavuta bhangi anaanza kwenye ile ajali ya treni watu 70 walikufa serikali inaficha/kwenye kichwa cha treni engen ilitolewa kupitia huyu na hayo mapichapicha ukweli tutaujua hongera afande kwa kazi nzuri.
Aliyepiga hiyo Picha ndo kazi iliyompeleka pale
Division of labourHapaswi kuokoa?
Ndiye huyu mleta mada!! Naye si ni wa dar?Je na huyo aliyepiga hii picha mbona humsemi?