Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
utanda wizi huo
Mkuu mhondo Ndio ni kweli kuweka Laptop kwenye mapaja kunasabibisha nguvu za kiume zipunguwe mwache apungukiwe nguvu kwa sababu amaeshapata watoto 2 wanatosha kizungu zungu wakisha wazz watoto wawili inatosha kiafrika frika tunahitaji watoto wengi kama vile anavyozaa nguruwe.Huyo mwanaume anapunguza nguvu za kiume. Inadaiwa kuweka laptop mapajani kunaua nguvu za kiume kutokana na joto linalotolewa na laptop.