Afadhali Wabunge wanaosusia Bunge wana sababu kuliko wale wa CCM wanaosinzia na kutochangia mijadala

Robinhomtoto

JF-Expert Member
May 17, 2017
238
244
Leo Naibu Spika ametangaza kuwa Wabunge wanaosusia Bunge na kutoka wasilipwe posho.Ningempongeza Naibu Spika kama angeongeza Na Wale Wabunge ambao wakati wa mijadala inaendelea Wao huwa wamesinzia Na kutokuchangia mijadala wao pia wangenyimwa posho Kwa wamefanya Bungeni ni kijiwe cha kusinzia.
 
Ila kwa kusema kweli wabunge wa ccm hawatutendei haki waTanzania. Ningekua na uwezo ningetafuta jinsi ya kuifuta Bunge letu kama B.Faso tena ikiwa na watu ndani yake ili tuanze upya.
 
Yaani nikimuona spika anavyojitutumua ili eti bunge nalo lionekane kwamba lina nguvu huwa nacheeka. Naona hataki kuambiwa I wish I coul be Speaker.

Ki ukweli bunge ni mateka wa serekali na halina uwezo wa kuamua wala kupitisha maazimio yoyote na serekali ikatekeleza. Nguvu kubwa ya bunge ipo kwenye kuwaadhibu wabunge wa upinzani. Kwa hapo bunge lina nguvu ya ajabu.
 
Tumeshapata jina la Bunge letu Tukutu linaitwa aka Bunge la Porojo.
 
Back
Top Bottom