Sijui kama mtu akipewa limbwata anaweza kujielewa iv au la!
But kifupi nina mke na nampemda mke wangu na siko tayali kumpoteza
Tatizo kuna mdada(mchepuko wangu) nilimpangia sehem sasa last month tulikosana na mke wangu nikahamia kwa huyu mchepuko shida imekuwa siwez kurud home
Najitahid mpk nafanya maombi ili kama nimerogwa nitoke but still siwez
Huwa narud home nakaa mpk ikifika usiku najikuta roho inaniuma sana naanza kuwaza mchepuko ataniacha au ataingiza mwanaume mwingine so najikuta naondoka kwangu narud kule
Wife anaumia and i see her na inaniumiza sana
Nina take care of my family vzr kabisa na wife pia namsuprt bishara yake akiyumba na tunapokuwa kazin tuko oky as if amna tatizo
Wapendwa n wish kutoka hapa nirud kwangu to my family nifanyeje?(pls msinitukane nisaidie ushaur bora)
But kifupi nina mke na nampemda mke wangu na siko tayali kumpoteza
Tatizo kuna mdada(mchepuko wangu) nilimpangia sehem sasa last month tulikosana na mke wangu nikahamia kwa huyu mchepuko shida imekuwa siwez kurud home
Najitahid mpk nafanya maombi ili kama nimerogwa nitoke but still siwez
Huwa narud home nakaa mpk ikifika usiku najikuta roho inaniuma sana naanza kuwaza mchepuko ataniacha au ataingiza mwanaume mwingine so najikuta naondoka kwangu narud kule
Wife anaumia and i see her na inaniumiza sana
Nina take care of my family vzr kabisa na wife pia namsuprt bishara yake akiyumba na tunapokuwa kazin tuko oky as if amna tatizo
Wapendwa n wish kutoka hapa nirud kwangu to my family nifanyeje?(pls msinitukane nisaidie ushaur bora)