ADVICE: Ninunue gari aina gani?

Nina
kiasi cha shilingi 7mil na ninataka kununua usafiri wangu binafsi.
Naombeni wenye uzoefu na magari mnishauri ni aina gani ya gari naweza
kuipata kutoka show room kwa kiasi hicho cha fedha.

Binafsi nilikuwa napendelea toyota mark II ila sasa sijui bei yake
ikoje.

Then naomba kujua gharama za utunzaji gari zikoje kwa mfano inatakiwa
ifanyiwe service mara ngapi kwa mwezi.

Mshara wangu ni lak 3 kwa mwezi sina familia je nitaweza kuzimudu gharama za utunzaji gari?

...dada yangu "miss username" mshahara wa laki3 ! umeweza kudunduliza ukafikisha 7mil. !
- je hizo pesa hazifungamani na MKOPO kutoka taasisi za fedha / za mikopo?

-
 
wekeni na picha za hayo magari mnayotoa bei zake, sio mnatoa bei tuuuuu, weka na picha
 
Duu kweli vijana kazi tunayo vijana una mshahara wa laki 3 unataka kununua gari? Jijenge kwanza dogo kununua gari la matumizi binafsi ni kujipunguzia speed ya kukua kiuchumi.Zungusha hizo mil 7 zako ili kuja kununua gari ukiwa una raha zako zote na uwezo wa kununua fuel

Azungushe kwenye nini?mimi nadhani kwa hapa mjini kama unafanya kazi ya kuajiriwa ya kuingia saa mbili asubuh tu jion saa 11, basi gari ni muhimu sana!few things u can do for let's say 7 Million,may b kama wapenda kulima au kufuga huko nje ya mji!otherwise 7 million haiwez kutosha kwa biashara isiyokupa headache! Kumbukeni kufungua biashara sio kazi,kazi ni usimamizi!
Muda utakaopoteza vituoni kama huna gari ni mkubwa sana!
 
Mie mwenyewe nimeshangaa, service rahisi hivyo, nimefanya service kama mwezi mmmoja umepita tena nimefanyia BP sh 70,000

... Mkuu hudumu ya Service ya bei hizi inapatikana wapi? ili nami nikanufaike na hizi garama nafuu...
 
Biashara gan hiyo ya 5M kaka?

Biashara ni mawazo ya mtu! mm ukiniuliza bussness nitakuambia unahitaji mtaji wa atleast 15M, ila kuna mabwana wadogo nawatoaga na tulaki 3-5, na wananirudishia kwamuda mfupi tu! so ulpo ndo utapata mawazo ya bussness!
 
... Mkuu hudumu ya Service ya bei hizi inapatikana wapi? ili nami nikanufaike na hizi garama nafuu...

nunua vifaa maduka ya spea uswahilini.....mpe fundi garage uswazi.....ukija kichwakichwa na suti/tai yako unapigwa double/triple price.....kimoja nilichosahau kutaja ni ENGINE OIL ambayo ni 32,000-70,000 uamuzi wako.....kwa gari hizi ndogo za mjini hapa oil ya 32,000 iko poa tu
 
Mie mwenyewe nimeshangaa, service rahisi hivyo, nimefanya service kama mwezi mmmoja umepita tena nimefanyia BP sh 70,000

thats where the problem is....BP ni expensive for nothing.....kuna ile TOTAL pale morogoro road near mtendeni primary school/AKIBA kuna mpemba pale anafanya bei rahisi sana.....nimesahau kuandika ENGINE OIL ambayo ni 32000-70000 kutegemea na uitakayo.....
 
Nina
kiasi cha shilingi 7mil na ninataka kununua usafiri wangu binafsi.
Naombeni wenye uzoefu na magari mnishauri ni aina gani ya gari naweza
kuipata kutoka show room kwa kiasi hicho cha fedha.

Binafsi nilikuwa napendelea toyota mark II ila sasa sijui bei yake
ikoje.

Then naomba kujua gharama za utunzaji gari zikoje kwa mfano inatakiwa
ifanyiwe service mara ngapi kwa mwezi.

Mshara wangu ni lak 3 kwa mwezi sina familia je nitaweza kuzimudu gharama za
 
Naomba uzoefu kaka! Kwa laki3 mpaka unameki m7 umefanyajefanyaje! Maana kuna maisha mengine nayo yanahitaji ka laki3 hakohako duh!!
 
Wakuu hajaomba ushauri wa biashara ameomba mumshaur anunue gar gan mshahara wake lak 3 mnajuaje kama hana sources nyngne za kiuchumi mnajuaje kama anakaa kwenye nyumba ya kupanga mmmh mnamakubwa jinunulie spacio ww.
 
Duu kweli vijana kazi tunayo vijana una mshahara wa laki 3 unataka kununua gari? Jijenge kwanza dogo kununua gari la matumizi binafsi ni kujipunguzia speed ya kukua kiuchumi.Zungusha hizo mil 7 zako ili kuja kununua gari ukiwa una raha zako zote na uwezo wa kununua fuel

Hakuna neno mkuu,hawezi kukuelewa sasa hivi muache ajifunze the hard way kidogo..ni vigumu sana kumuelewesha mtu ambaye hajawahi kumiliki gari kuwa gari ni liability..
Mimi najua watu kadhaa ambao pamoja na kuwa na salary ya Tshs 3m kwa mwezi bado hawajanunua magari ya kutembelea...sasa laki 3 hata mafuta haitoshi
 
Nunua Spacio
Hata mimi nilitaka kumwambia hiyo, Spacio ni nzuri haina gharama sana. Mwaya wasikutishe mshahara mdogo utamudu, halafu ndo utachemsha akili zaidi kuongeza kipato kwa vile utakuwa na miguu.
 
Hakuna neno mkuu,hawezi kukuelewa sasa hivi muache ajifunze the hard way kidogo..ni vigumu sana kumuelewesha mtu ambaye hajawahi kumiliki gari kuwa gari ni liability..
Mimi najua watu kadhaa ambao pamoja na kuwa na salary ya Tshs 3m kwa mwezi bado hawajanunua magari ya kutembelea...sasa laki 3 hata mafuta haitoshi
kaka kila mtu na mipango yake
 
Duu kweli vijana kazi tunayo vijana una mshahara wa laki 3 unataka kununua gari? Jijenge kwanza dogo kununua gari la matumizi binafsi ni kujipunguzia speed ya kukua kiuchumi.Zungusha hizo mil 7 zako ili kuja kununua gari ukiwa una raha zako zote na uwezo wa kununua fuel
yaani kaka mimi kidogo nizimie?
khaaa daladala zimeisha au?
 
Hakuna neno mkuu,hawezi kukuelewa sasa hivi muache ajifunze the hard way kidogo..ni vigumu sana kumuelewesha mtu ambaye hajawahi kumiliki gari kuwa gari ni liability..
Mimi najua watu kadhaa ambao pamoja na kuwa na salary ya Tshs 3m kwa mwezi bado hawajanunua magari ya kutembelea...sasa laki 3 hata mafuta haitoshi
hivi laki tatu ..hapo anaishi nyumba gani? bado kulipia parking kila siku sio chini ya elfu moja
majanga sana jamani....khaaa
 
Back
Top Bottom