Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,712
- 19,836
Acha kumkatisha tamaa mwenzio na waswahili wanasema maisha ni mipango. Kuna iliepanga kuanza na gari then nyumba, pia mwingine ndoa then gari, mwingine nyumba kwanza mengine yanafuata.
Pia kumbuka inategemea na kaza pia mizunguko ya mtu anaweza akaona matumizi ya tax, bodaboda au daladala na gharama pia anapoteza muda mwingi kuliko anapokua na usafiri binafsi.
Nimemkatisha tamaa kivipi mi nimejaribu kumpa mtazamo tu ni japokuwa maamuzi makuu anayo yeye.