kay 18
Senior Member
- Jul 25, 2012
- 148
- 24
hi friends,nina kiasi cha sh million 6.5 ninataka kufanya biashara bt cjajua ni biasha gani nifanye,bt kwa upande mwingene na kwautafiti niliofanya nilitaka kununua bajaji izunguke mjini,so wenye uzoefu juu ya biashara naombeni ushauri wenu,na wenye biashara ya bajaji ushauri wenu ni muhimu pia,