Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Waraka kwa wote wenye mapenzi mema,
Toka niifahamu JF mpaka sasa,imekuwa ni rafiki wangu wa karibu.Nikifika Ofisini asubuhi kitu cha kwanza ni kuangalia JF kumejiri nini.Hata kama nina kazi nawezajisahau na kuendelea na JF.Kwanza naogopa kuwa fisadi kwenye kipengele cha muda wa watu.Pili nitashindwa kubalance muda kufanya shughuli zangu nyingine za maendeleo hali hii ikiendelea.
Wakati mwingine najitahidi kuipotezea nisifungue najikuta nashindwa.
Nifanyeje?na wewe mwenzangu unafanyaje au huu ulevi ni wangu tu peke yangu.
Toka niifahamu JF mpaka sasa,imekuwa ni rafiki wangu wa karibu.Nikifika Ofisini asubuhi kitu cha kwanza ni kuangalia JF kumejiri nini.Hata kama nina kazi nawezajisahau na kuendelea na JF.Kwanza naogopa kuwa fisadi kwenye kipengele cha muda wa watu.Pili nitashindwa kubalance muda kufanya shughuli zangu nyingine za maendeleo hali hii ikiendelea.
Wakati mwingine najitahidi kuipotezea nisifungue najikuta nashindwa.
Nifanyeje?na wewe mwenzangu unafanyaje au huu ulevi ni wangu tu peke yangu.