Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,436
- 25,577
Topic nilizokuwa napenda
Modern Physics
Geo Physics
Electronics
.....
Modern Physics
Geo Physics
Electronics
.....
Hizo ni mchekea pamoja na heat dynamicsTopic nilizokuwa napenda
Modern Physics
Geo Physics
Electronics
.....
Yap yap ...
Ilikuwa ukiweza kuderive ile formula tu haileti shida sanaYap yap ...
Na Heat Dynamics....Topic pendwa..
Mwaka gan iyo mkuu,coz nimepita apo piaDah nimekumbuka enzi hzo minaki kuna tcha mmoja alikuwa hajui kitu kbsa so ikabidi iwe vice versa tukambatize jina la mwamba mgote
Sasa mkuu bata katika usomaj ulikua unalia wap?Physics noma ila kwangu Maths ilikua noma zaidi. Sijawahi kuipenda math advance. Kwa kifupi tulikua hatupendani na Math.
Sio wanyamaze peke ake ,,,tunasukuma nje kabisaakwa hyo hkl, hgl apa wanyamaze tu
Chemistry aiseee. Chemistry ilikua na unafuu sana kwangu. Sijui kwanini Final sikupata ASasa mkuu bata katika usomaj ulikua unalia wap?
Maan math ndi sehem ya kupumzikia mtu wa pcm
Sent using Jamii Forums mobile app
Chemia ilikua inanikimbiza coz niliidharau kwamba ntaipiga kma nilivoipiga ya olevelChemistry aiseee. Chemistry ilikua na unafuu sana kwangu. Sijui kwanini Final sikupata A
Sent using Jamii Forums mobile app
ulibahatika. Kama mimi hesabu sikupata F basi na wewe ulipata C kwa hakiChemia ilikua inanikimbiza coz niliidharau kwamba ntaipiga kma nilivoipiga ya olevel
Ila nashukuru ndo ikawa mkomboz wangu kupandish division. ila physics dah,uyu mnyama sitamsahau japo nilimfaulu kwa kupata C ila sielew mpak kesho nilitoa wapi iyo C
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...ukichanganya whiskey na coca cola...unapata Nini?Chemistry aiseee. Chemistry ilikua na unafuu sana kwangu. Sijui kwanini Final sikupata A
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana aiseeulibahatika. Kama mimi hesabu sikupata F basi na wewe ulipata C kwa haki
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kumshukuru maana hata mimi sijui nilichomokaje form six maana nilishakata tamaaHapana aisee
Ila C mpk kesho na doubt nayo saan kwan najua nilichofany kweny physics. yaan kila nikiwaza basi mungu alipenda tu nikawe engineer ila nabak kumshukuru tu mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah we jamaa utanivunja mbavuhalafu maswali ya physics huwaga yanaanza kama hadithi fulani hivi,yaani msenge mtungaji anakuvuta weeeeee anakuvuta weeeeee unakuujaaaa unakuja aaaaunaingia kwenye line zake then hapo hapo anakutupia jiwe paaaaaahhh la uso...yaani utakuta anaaza...
two stones thrown simutlaneously at a velocity of 20m/s at an angle of 60• to the horizontal,a man with a gun stand at 26m from the point of throwing,if the man has a mass of 80kg,calculate mass of the sun approximate to 6 decimal places..
ku**make hapa lazima ujambe,unaanza kujiuliza asa hapa ni topic gani,mtunzi kachanganga
projectile
calculating device
linear motion
planetary motion/gravity
error and dimension
unabaki tu kukumbuka maisha yako,marafiki zako,ndugu na jamaa,unakumbuka ulivokuwa unafaulu shule yako ya kata...unajikaza kiume mzee,unaandika data collection,unazugazuga pale na viformula basi unapoteza muda....unakusanya zako karatasi basi,unawaza hivi nimemkosea nini mungu mimi....kinyooonge unatoka class,sema ukikutana na wauni mnacheeeeeeeeekaaaaaaaaa basi unasahau na maisha ya shule yanaendelea.
nitarudi shule zote ila siyo advance ya tanzania *****....