Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,381
- 41,370
Achana na ile misemo ya mtaani, kwamba kama unapata kila kitu kwenye mahusiano, basi ndoa haina umuhimu. Au wale wanaosema ukishamuweka ndani basi anaota mapembe.
Ukweli ni kwamba huwa inafikia point in this life unahitaji kusettle down. Kwamba hata kama ni kichomi au kivuruge unaamua tu kutulia nae, maana ushazurura sana. Sometime changamoto zinajitokeza mbeleni kabisa, ila wengine wanaanza nazo hizo changamoto, ila baadae zinapotea na wanatulia kwa amani.
Kuna nyumba moja niliwahi kupanga, yule baba mwenye nyumba alikuwa peace sana. Kwenye lile eneo ana nyumba mbili kubwa, moja anakaa na familia yake yenye watoto watano, nyingine ndio tulikaa sisi wapangaji. Kuhusu kodi ya nyumba, alimuachia mkewe ndio awe anachukua ili zimsaidie katika mahitaji ya nyumbani. Yeye Mzee alikuwa anasimamia gharama za uendeshaji mashamba yake na kusomesha watoto. Huyu mama mwenye nyumba alikuwa hapendi kabisa wapangaji wakike. Sometime hata kama kuna chumba kipo wazi, alikuwa anawaambia hapangishi. Alikuwa ni mlevi sana, ikitokea hujalock mlango, unaweza mkuta kajilaza chumbani kwako, hii huwa inatokea sometimes hata kama hajalewa.
Kuna siku nilikuwa napiga story na baba mwenye nyumba, akaniambia kitu kimoja "Jitahidi usije ukakosea kuchagua, kama nilivyofanya mimi baba ako"
Ofcourse mifano ipo mingi, nina broh mtoto wa baba mkubwa ambae alipataga demu kwenye harusi ya binamu. Huyo dem alikunywaga pombe mpaka akazima, ila kabla hajazima alifanya sana vituko. Broh alimsaidia at the end wakawa lovers, siku anatangaza kutaka kumuoa familia nzima iligoma, maana wanajua alipomtoa na vituko alivyofanyaga ambavyo kwa mwanamke ni fedhea. Jamaa alifosi ndoa, ila wakamwambia yakikukuta utajua mwenyewe. Leo hii ndoa yao ina zaidi ya miaka 13, wale waliokuwa wanajiona wamechagua pazuri, washaachana acha wengi tu, plus vikao vikao daily.
BACK TO THE TOPIC
Ningependa kusikia kutoka kwenu dada zangu na kaka zangu mlio kwenye ndoa. Kwamba kwa kutolea mfano ndoa yako, unawashauri nini ambao bado hawajaoa?
Share na wadogo zako, hii elimu ambayo hawatoweza ipata darasani.
Feel free to express anything, walau tuweze jifunza. Real life experience huwa ni mwalimu mzuri sana.
Thanks.
Regards.
Analyse
Ukweli ni kwamba huwa inafikia point in this life unahitaji kusettle down. Kwamba hata kama ni kichomi au kivuruge unaamua tu kutulia nae, maana ushazurura sana. Sometime changamoto zinajitokeza mbeleni kabisa, ila wengine wanaanza nazo hizo changamoto, ila baadae zinapotea na wanatulia kwa amani.
Kuna nyumba moja niliwahi kupanga, yule baba mwenye nyumba alikuwa peace sana. Kwenye lile eneo ana nyumba mbili kubwa, moja anakaa na familia yake yenye watoto watano, nyingine ndio tulikaa sisi wapangaji. Kuhusu kodi ya nyumba, alimuachia mkewe ndio awe anachukua ili zimsaidie katika mahitaji ya nyumbani. Yeye Mzee alikuwa anasimamia gharama za uendeshaji mashamba yake na kusomesha watoto. Huyu mama mwenye nyumba alikuwa hapendi kabisa wapangaji wakike. Sometime hata kama kuna chumba kipo wazi, alikuwa anawaambia hapangishi. Alikuwa ni mlevi sana, ikitokea hujalock mlango, unaweza mkuta kajilaza chumbani kwako, hii huwa inatokea sometimes hata kama hajalewa.
Kuna siku nilikuwa napiga story na baba mwenye nyumba, akaniambia kitu kimoja "Jitahidi usije ukakosea kuchagua, kama nilivyofanya mimi baba ako"
Ofcourse mifano ipo mingi, nina broh mtoto wa baba mkubwa ambae alipataga demu kwenye harusi ya binamu. Huyo dem alikunywaga pombe mpaka akazima, ila kabla hajazima alifanya sana vituko. Broh alimsaidia at the end wakawa lovers, siku anatangaza kutaka kumuoa familia nzima iligoma, maana wanajua alipomtoa na vituko alivyofanyaga ambavyo kwa mwanamke ni fedhea. Jamaa alifosi ndoa, ila wakamwambia yakikukuta utajua mwenyewe. Leo hii ndoa yao ina zaidi ya miaka 13, wale waliokuwa wanajiona wamechagua pazuri, washaachana acha wengi tu, plus vikao vikao daily.
BACK TO THE TOPIC
Ningependa kusikia kutoka kwenu dada zangu na kaka zangu mlio kwenye ndoa. Kwamba kwa kutolea mfano ndoa yako, unawashauri nini ambao bado hawajaoa?
Share na wadogo zako, hii elimu ambayo hawatoweza ipata darasani.
Feel free to express anything, walau tuweze jifunza. Real life experience huwa ni mwalimu mzuri sana.
Thanks.
Regards.
Analyse