Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
Kulingana na Mjadala maarufu alio toa Dr Slaa Jioni ya leo ni wazi kuwa Mgawanyiko mkubwa wa Kijamii kwa Watanzania umesababishwa na UFISADI MKUU ambao Dr aliwahi kuwataja wahusika vinara KUMI na leo Kamuongeza wa KUMI NA MOJA.
Its a shame wote wliotajwa kushindwa kuchukua hatua ya kujisafisha hadi leo. Wamebaki WANATETEMEKA kwa WOGA MKUU wamechanganyikiwa wanajikusanya kujaribu kujiosha na kufichiana siri... kwa gharama ya Kutugawa Watanzania kwa matabaka yote kuanzia kidini, kisiasa, kikabila, kikanda..nk. tusikubali watanzania, kwani tumekuwa wamoja miaka yote huko nyuma na hatukufarakana.
Kama tumemeuelewa Dr Slaa, hatuna haja ya kugombana Kidini wala kikabila; Watanzania tujiunge tuwafanyie kweli MAFISADI kumi waliotajwa, Maadui wa Taifa hili sio waislam wala wakristu wala tofauti zetu nyingine. Ni mafisadi.... tupambane nao kwa nguvu moja bila kutengana mpaka watueleze kwanini hawajamchukulia Dr Slaa hatua hadi leo kama walivyokuwa wamedai. Adui yako Si Mkristu, Si Muislam na wala sio Mtu wakabila lingine ... NI FISADI... aliyeshindwa kujisafisha baada ya kutajwa hadharani... Mtanzania wa leo ..Usidanganyike...!
Tushukuru Mungu kwa kumleta Dr na kutoa ufafanuzi huu muhimu dakika hizi za mwisho...Tuelewe na tuchukue hatua tujenge Uzalendo, Heshima, Matumaini na Umoja wa Kitaifa kwa kutambua Adui Mkuu wa Umoja wetu Ni FISADI.
Its a shame wote wliotajwa kushindwa kuchukua hatua ya kujisafisha hadi leo. Wamebaki WANATETEMEKA kwa WOGA MKUU wamechanganyikiwa wanajikusanya kujaribu kujiosha na kufichiana siri... kwa gharama ya Kutugawa Watanzania kwa matabaka yote kuanzia kidini, kisiasa, kikabila, kikanda..nk. tusikubali watanzania, kwani tumekuwa wamoja miaka yote huko nyuma na hatukufarakana.
Kama tumemeuelewa Dr Slaa, hatuna haja ya kugombana Kidini wala kikabila; Watanzania tujiunge tuwafanyie kweli MAFISADI kumi waliotajwa, Maadui wa Taifa hili sio waislam wala wakristu wala tofauti zetu nyingine. Ni mafisadi.... tupambane nao kwa nguvu moja bila kutengana mpaka watueleze kwanini hawajamchukulia Dr Slaa hatua hadi leo kama walivyokuwa wamedai. Adui yako Si Mkristu, Si Muislam na wala sio Mtu wakabila lingine ... NI FISADI... aliyeshindwa kujisafisha baada ya kutajwa hadharani... Mtanzania wa leo ..Usidanganyike...!
Tushukuru Mungu kwa kumleta Dr na kutoa ufafanuzi huu muhimu dakika hizi za mwisho...Tuelewe na tuchukue hatua tujenge Uzalendo, Heshima, Matumaini na Umoja wa Kitaifa kwa kutambua Adui Mkuu wa Umoja wetu Ni FISADI.