Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Rais Magufuli akicheza siasa kama alivyokuwa Rais Mstaafu wa Kenya Daniel Arap Moi (Prof wa siasa) leo hii amedhihirisha wazi jinsi anavyoanza kuiteka kambi ya Edward Lowassa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
Ikumbukwe wakati wa uchaguzi mkuu 2015 kulitokea mgawanyiko mkubwa wakati wa kutafuta mgombea wa urais kupitia chama cha CCM. Nafikiria ile kambi nyingine kwasasa wanatafakari itawezaje kupambana na nguvu mpya aliyoipata Mwenyekiti wa CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikumbukwe wakati wa uchaguzi mkuu 2015 kulitokea mgawanyiko mkubwa wakati wa kutafuta mgombea wa urais kupitia chama cha CCM. Nafikiria ile kambi nyingine kwasasa wanatafakari itawezaje kupambana na nguvu mpya aliyoipata Mwenyekiti wa CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app