Mfalme wa Gheto
Member
- Jul 27, 2012
- 41
- 28
Tatizo number moja linalotukabili watanzania ktk nchi yetu ni 'WOGA WA KUTHUBUTU". utakuta watu wanatokwa na povu jingi ktk media esp. mitandao ya kijamii na magazeti ktk kulaani au kukemea na kuonyesha msimamo wao ktk jambo flani, lakini wengi wetu tunaishia "kuenjoy" kusoma tuu mawazo yao kisha tunatupa kama story ya udaku. tungeweza kuthubutu kutenda ktk kila tunenalo tungekuwa mbali. utasika mtu flani ajiuzulu, asipojiuzulu hakuna kinachofanyika. Hii ndio imewapa hawa viongozi wetu kiburi cha kuona wao ni wao wengine vinyesi. Kama tungeungana kimatendo si kwa kumbwela I'M SURE Tz ingekuwa nchi moja nzuri but WOGA WA KUTHUBUTU umetufanya tueendelee kuwa maskini na mtaji kwa wengine. tumeshuhudia nchi za wenzetu zilivyofanya mapinduzi kwa kuhakikisha viongozi makanjanja yanatolewa hata kwa migomo ya wananchi but kwa Tz hii itakuwa ndoto za abunuasi.
Conclusion:
Ni heri tukanyamaza kuacha uovu utamalaki kuliko kulia lia kila siku wakati tukijua hata opportunity ikija huwa hatuwezi fanya chochote kujikomboa.So ninaweza sema SHAME ON US KWA KUWA NA WOGA WA KUTHUBUTU.:blah:
Conclusion:
Ni heri tukanyamaza kuacha uovu utamalaki kuliko kulia lia kila siku wakati tukijua hata opportunity ikija huwa hatuwezi fanya chochote kujikomboa.So ninaweza sema SHAME ON US KWA KUWA NA WOGA WA KUTHUBUTU.:blah: