Adui namba wani wa Mwafrika ni...

Ukienda kwenye ofisi yoyote, hasa yenye watu wenye asili mbalimbali, Mswahili mwenzio ndio anakugandamiza badala ya kukusaidia.

Safari ndefu.
 
Ujinga, maradhi, umaskini, uroho wa mali, uroho wa madaraka na kukosa roho ya uzalendo ndio maana tunapelekeshwa na wageni ndani ya mipaka yetu hadi tunachekwa na wenzetu.
 
Mswahili akimiliki mali ya thamani kubwa: Maswali, umepata wapi? umewezaje? mbona mshahara wako mdogo tunaujua.... keleeeele! Mzungu, Mwarabu, Mhindi, Msomali akiwa na mali nyingi, hakuna hata mtu anayeuliza amepataje... hata kama huo 'mshahara mdogo' yeye hana: tumefanya umasikini kuwa ni sehemu ya jadi yetu....

Jaribu kushika Kamera uwapige picha Waswahilii wenzio uone cha mtema kuni! "Unataka kwenda kutuuza?"

Lakini akija Mzungu, Waswahili haohao watacheka "Wazungu bwana, kwa kupenda kupiga picha!"
 
Kwa maoni yangu adui wa kwanza wa Waafrika ni Viongozi wa nchi mbali mbali za Afrika ambao wengi wameweka mbele maslahi yao binafsi au ya vyama vyao na kusahau maslahi ya nchi zao. Mifano ya Viongozi hao ni kama Mobutu aliyeifilisi nchi yake, Abacha aliyeiba mabilioni ya pesa, Mkapa aliyeiba Kiwira na kusaini mikataba ambayo haina maslahi na Tanzania na pia chini ya uongozi wake kutokea ufisadi wa hali ya juu ikiwemo Meremeta, Mwananchi Gold, Rada, Ndege ya Rais n.k., Kikwete ambaye chini ya uongozi wake ameshindwa kuwachukulia sheria zozote zile mafisadi mbali mbali wakiwemo wale wa Richmond. Na ipo mifano chungu nzima ya Viongozi kama hawa katika nchi nyingi za Afrika.
 
Bubu Ataka Kusema,

Yupi nafuuu. Anayesaini mikataba mibovu lakini yeye (hatujui kama anakula) hali rushwa, au yule ambaye anasaini mikataba hiyohiyo mibovu, lakini naye ana 'panga' lake? Mobutu namsifu angalau kwenye mikataba alikuwa na yeye anajigemea na kujimegea, tofauti na ilivyo kwa watawala wa nchi fulani ambao wanasaini mikataba ileile sawa na aliyosaini Mobutu, ila wao mgao wao ni sifa tu... ('ukitaka kula nguruwe... wote wanakula 'nguruwe' ila Mobutu anajichagulia walionona).

Mkapa na Kikwete biggest blunder waliyofanya ni mkataba wa EAC. Hayo matatizo mengine inayosemekana wamefanya, mostly I'd attribute it to uwezo wao wa utawala ulifikia kikomo, mafisi mafisadi yakatumia nafasi hiyo, without their (witting) support.

The bottom line is, hao watawala wote walioko Afrika ya Watu Weusi ni Waafrika wenzetu.

Hivi, pride and prejudice aside, kama tungeamua kumleta Bill Clinton, George Bush, Tony Blair, au Ehud Barak, watu ambao wana uzoefu wa kutawala vizuri kwenye nchi zao, kitu gani kibaya ambacho wanaweza kukifanya ambacho Watawala wetu weusi wenzetu hawawezi kukifanya au hawakifanyi? (HINT: Kwa ajili ya 'sifa kwa taifa', tutamchagua ceremonial Mswahili wa kusindikizwa na misafara, na kutembea juu ya zulia jekundu 'kwa niaba yetu')
 
Bubu Ataka Kusema,

Yupi nafuuu. Anayesaini mikataba mibovu lakini yeye (hatujui kama anakula) hali rushwa, au yule ambaye anasaini mikataba hiyohiyo mibovu, lakini naye ana 'panga' lake? Mobutu namsifu angalau kwenye mikataba alikuwa na yeye anajigemea na kujimegea, tofauti na ilivyo kwa watawala wa nchi fulani ambao wanasaini mikataba ileile sawa na aliyosaini Mobutu, ila wao mgao wao ni sifa tu... ('ukitaka kula nguruwe... wote wanakula 'nguruwe' ila Mobutu anajichagulia walionona).

Mkapa na Kikwete biggest blunder waliyofanya ni mkataba wa EAC. Hayo matatizo mengine inayosemekana wamefanya, mostly I'd attribute it to uwezo wao wa utawala ulifikia kikomo, mafisi mafisadi yakatumia nafasi hiyo, without their (witting) support.

The bottom line is, hao watawala wote walioko Afrika ya Watu Weusi ni Waafrika wenzetu.

Hivi, pride and prejudice aside, kama tungeamua kumleta Bill Clinton, George Bush, Tony Blair, au Ehud Barak, watu ambao wana uzoefu wa kutawala vizuri kwenye nchi zao, kitu gani kibaya ambacho wanaweza kukifanya ambacho Watawala wetu weusi wenzetu hawawezi kukifanya au hawakifanyi? (HINT: Kwa ajili ya 'sifa kwa taifa', tutamchagua ceremonial Mswahili wa kusindikizwa na misafara, na kutembea juu ya zulia jekundu 'kwa niaba yetu')

Sidhani kuna anayesaini mikataba mibovu mwenyewe asinufaike. Si ajabu wote hawa ni shareholders wa Barrick na makampuni mengine ya uchimbaji madini yaliyo Tanzania.
 
Afrikacans, hawana uzalendo, kila kiongozi mbinafsi, wenye utajiri hawautumii kuwasaidia wanyonge bali kujineemesha. tujifunze kutoka kwa matajiri wa nchi zilizoendelea mfano, MacDonald, IKEA, na wengine hawa utajiri wao umetoa ajira kwa watu wengi lakini sisi na manji wetu ummmmmmmmmmmmmmmmmmm
 
ni mwafrika mwenyewe, huyu anayejiita mzawa idd simba, wakati huo ni waziri wa viwanda na biashara, kuna kampuni moja ya simu, ndo ilikuwa inaingia bongo hii, walifanya kiji meeting flani pale movenpick enzi hizo sheraton hotel. kuna jamaa napiga nae mzigo yeye alikuwa waiter pale miaka hiyo alipewa ahudumie hiyo convoy. anasema waliongea mambo mengi tu na ujumbe toka wizarani. wale wawekezaji walipoulizia kuhusu salary takwimu zikoje kulinganisha na makampuni mengine, mzawa akadakia eti hawa waswahili hawahitaji kulipwa vizuri, wakilipwa pesa nyingi hawafanyi kazi kabisa, jamaa anasema kidogo adondoshe glass wazungu nao wakabaki wameduwaa tu.
 
Wakati wa Nyerere Tanzania ilikuwa inafuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea. Kimsingi kila Mtanzania alikuwa anajua mwelekeo wa nchi. Kama alikuwa anakubaliana nayo siasa hiyo, au iwapo ilifanikiwa au la, hili ni suala la mjadala.

Swali la msingi, sasa hivi Tanzania tunafuata siasa gani?

Ujamaa?

Ubepari?

Ukabaila?

Neo-liberalism?

Post neo-liberalism?

Bora liende?

Mradi kunakucha?

"If you don't stand for anything, you'll fall for everything", so they say. Do Tanzania now stand for anything?
 
Siyo siri sasa hivi tunafuata Ubepari lakini Viongozi wanalificha hilo hata katiba ya CCM inadai bado tunafuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.
 
Ubepari is not all bad, same as Ujamaa is not all roses. But we need to choose whichever policy we want to follow.

Looks like after demonising 'Ubepari' for ages, we cannot now majestically profess it.

The result is 'Ubemaa' system -- we selectively apply "good" part of 'ubepari' principles to 'Wawekezaji', foreigners and a class of individuals, while applying 'bad' portions of 'Ujamaa' to the greater majority of people.
 
Wakati wa Nyerere Tanzania ilikuwa inafuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea. Kimsingi kila Mtanzania alikuwa anajua mwelekeo wa nchi. Kama alikuwa anakubaliana nayo siasa hiyo, au iwapo ilifanikiwa au la, hili ni suala la mjadala.

Swali la msingi, sasa hivi Tanzania tunafuata siasa gani?

Ujamaa?

Ubepari?

Ukabaila?

Neo-liberalism?

Post neo-liberalism?

Bora liende?

Mradi kunakucha?

"If you don't stand for anything, you'll fall for everything", so they say. Do Tanzania now stand for anything?

Mkuu mbona topic umeeiita "Ubepari ni Unyama" halafu unauliza tunafuata nini tena?

Sisi ni mabepari namba moja duniani , serikali imeukumbatia ubepari kuliko hata hao waliouanzisha nadhani. Tena ni special brand ya ubepari ambayo bila "wawekezaji" haiiendi!
Lakini watanzania at heart wengi ni socialists bado, so tunajifoji.

Nadhani system nzuri iko katikati somwhere btwn socials and capitalism kama wanavyofanya Canada, UK na nchi nyingi za Scandinavia.
 
Ubepari si unyama bali ni mchakato kufikia malengo fulani. Ukiamini hivyo kuna wanaoamini kuwa usoshalist na ukomunist ni uhayawani. Rejea maandiko yanayohusiana. Lenin katika safari ya kuufikia ukomunist alitoa kauli kwa kusema we are making one step back in order to make two steps forward. Akimaanisha kuwa bila jamii kuwa na viwanda na uzalishaji ambayo ni sehem ya ubepari, hawataweza kufikia vishen yao iliyosema from each according to his produce to each according to his needs. Hapo ina maana ukomunist Ukiyatafakari hayo utaona ubepari ni kipengele muhimu
 
Back
Top Bottom