Abeto Malakoti
Senior Member
- Feb 7, 2018
- 122
- 234
Ndio kuna kesi imefunguliwa juu ya swala hili. Swala la kwamba haki itatendeka siwezi kulisemea kwa sababu kipindi hiki uwezo wa kitaalum (uweledi), uadilifu na ujasiri wa majaji wa siku hizi unatiliwa shaka sana tofauti na majaji wa zamani kama Samatta, Lugakingira, Mwalusanya na Mapigano ambao walisifika kwa kutenda haki bila uoga na bila upendeleo kutoka na kuwa na uweledi, uadilifu na ujasiri usiotiliwa shaka hata kidogo.Sawa.....kuna kesi imefunguliwa juu ya hili... si ndio? Haki itatendeka...?