Abeto Malakoti
Senior Member
- Feb 7, 2018
- 122
- 234
Mhhh!!!!!Kwa nini asimpe tu Tundu Lisu?? Sheria zitafafanuliwa kama zote
Mhhh!!!!!Kwa nini asimpe tu Tundu Lisu?? Sheria zitafafanuliwa kama zote
Mhhh!!!!!EU wanamchanganya Jiwe na nyinyi wananzengo mmemkalia kooni muhurumieni kdg
Ukitaka kujua akili ya mtu angalia elimu aliyoprofessionalize ..
Mwingine unakuta ni;
mwanasheria
mchumi
daktari
injinia
mwanasarufi
mwanafasihi
mwanasaikolojia..
.
huyu yeye ni MKEMIA WA UTOMVU WA GANDA LA KOROSHO !
kkkk !
sijui aligundua nini kwenye huo utomvu ili nchi inufaike maana thesis mlimani hazionekani ?!
Nasikia huyo prof. akitaka kudanganya anatoa macho balaa?
Unakumbuka uteuzi wa wabunge 10 wa kuteuliwa na Rais?Ilibidi yule dogo ajiuzulu Ubunge kuepusha mgogoro wa kikatiba
Mhhh!!!!Mkuu acha uchochezii,kua mzarendo na utembee kifua mbereee uko kwenye raiti traki
Watanzania kwa kumchimba mtu hawajambo.Ndo yalivyo mkuu.ka ya benzi vile
Kwa nchi gani mkuu?kwa issue kama hii, ikatokea mahakama wakasema uteuzi huu si halali kisheria hivi waziri wa sheria si itabidi tu kiungwana arudishe funguo za ofisi?
Nchi hii hiiKwa nchi gani mkuu?
Watanzania kwa kumchimba mtu hawajambo.
Sahau kabisa kuhusu msamiati wa uwajibikajiNchi hii hii
Mkuu nadhani moja ya njia za kupunguza machungu.
Sahau kabisa kuhusu msamiati wa uwajibikaji
Amevunja katiba....?
Raisi....Nani huyu unayeuliza kuwa kavunja katiba?
Raisi....
Kisheria inachukuliwa kuwa Rais amefuata katiba mpaka pale itakapoamuliwa vinginevyo na mahakama.