Fomu na barua zinapatikana kwenye tovuti ya chuo kikuu cha dodoma unalog in kwa index no.ya form four kama user name,na surname kama password ikiwa kwenye capslock
Fomu na barua zinapatikana kwenye tovuti ya chuo kikuu cha dodoma unalog in kwa index no.ya form four kama user name,na surname kama password ikiwa kwenye capslock
<br />
<br />
Asante kwa hii taarifa,mkuu naomba unifahamishe lbd kiasi gan cha pesa anachotakiwa kulp mwanafunz ili apate kusajiliwa(kwa waliopata mkopo wa bodi)au na wao ndo km udsm?maana naona hali kl kukicha ktk vyuo vyetu inazdi kuwa tete!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.