Mine eyes JF-Expert Member Apr 11, 2016 6,431 7,090 Sep 8, 2019 #1 Habari wakuu.. Naomba kufahamishwa, anayekutwa na kosa la kusajili kwenye vyuo vikuu cheti feki adhabu yake inakuwaje? Na anaweza kuweka wakili kutokana na aina ya kesi ilivyo? Na kama alihadaiwa au kushawishiwa hapo inakuaje?
Habari wakuu.. Naomba kufahamishwa, anayekutwa na kosa la kusajili kwenye vyuo vikuu cheti feki adhabu yake inakuwaje? Na anaweza kuweka wakili kutokana na aina ya kesi ilivyo? Na kama alihadaiwa au kushawishiwa hapo inakuaje?
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,204 128,012 Sep 8, 2019 #2 Umeandaa pesa ya kumlipa wakili??
Mine eyes JF-Expert Member Apr 11, 2016 6,431 7,090 Sep 8, 2019 Thread starter #3 Daudi Mchambuzi said: Umeandaa pesa ya kumlipa wakili?? Click to expand... Sio mimi .hilo ni swali.. Inatakiwa majibu kwanza.mkuu.. then ndio mchambuzi utachambua..
Daudi Mchambuzi said: Umeandaa pesa ya kumlipa wakili?? Click to expand... Sio mimi .hilo ni swali.. Inatakiwa majibu kwanza.mkuu.. then ndio mchambuzi utachambua..
Mine eyes JF-Expert Member Apr 11, 2016 6,431 7,090 Sep 13, 2019 Thread starter #4 Daudi Mchambuzi said: Umeandaa pesa ya kumlipa wakili?? Click to expand... Mkuu .. kama unaujuzi na hili naomba unipe japo kidogo...
Daudi Mchambuzi said: Umeandaa pesa ya kumlipa wakili?? Click to expand... Mkuu .. kama unaujuzi na hili naomba unipe japo kidogo...