Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Ni muda mrefu sasa wanaharakati mbali mbali wamekuwa wakipigia kelele swala hili. Nchi kadhaa duniani ikiwemo Kenya wamefuta adhabu hii.Kwao hii ni jinai;mwalimu au mzazi ukibainika amemchapa mtoto unawajibishwa.Hapa Tanzania adhabu hii bado ipo,ila kuna utaratibu na kikomo cha kuitoa hasa shuleni.
Swali:Kwa mazingira yetu haya,je umefika muda muafaka wa kuiondoa kabisa adhabu hii nyumbani na shuleni? Kama tunataka iendelee je,utumike utaratibu gani wa kuitoa hasa nyumbani?
Swali:Kwa mazingira yetu haya,je umefika muda muafaka wa kuiondoa kabisa adhabu hii nyumbani na shuleni? Kama tunataka iendelee je,utumike utaratibu gani wa kuitoa hasa nyumbani?