Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Last Updated on: 15.10.2008 0519 EAT (1205 GMT) (Dar Leo)
Achapwa viboko kwa kuchezea nyeti za watoto
Na Rehema Maigala, Kinondoni
MSHITAKIWA Rahimu Issa (22), mkazi wa Sinza amehukumiwa adhabu ya viboko 12 kwa kosa la kuwatia vidole watoto wa kike wawili wenye umri wa miaka ( 8) na (10), bila ya ridhaa yao.
Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu Stahimili Ngwaisya baada ya kuona mshitakiwa anashahili adhabu ya viboko. Mshitakiwa huyo alichapwa viboko vyake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni na askari wa Magereza kama ilivyo sheria.
Hapo awali walalamikaji hao walitoa ushahidi wao walidai kuwa, mshitakiwa ilikuwa ni kawaida yake kuwaita nyumbani kwake na kuwachezea sehemu zao za siri na baada ya hapo anawapa sh. 50 kwa ajili ya kununulia pipi.
Walidai kuwa si kwao tu bali ilikuwa hata kwa watoto wengine ambao wao walikuwa hawajaenda kusema kwa wazazi wao.
Kabla ya Hakimu kutoa adhabu hiyo kali alimuamuru mshitakiwa ajitetee ili mahakama impunguzie adhabu itakayotolewa.
Mshitakiwa alidai kuwa yeye ni mtoto yatima hivyo anaomba apunguziwe adhabu itakayotolewa na mahakama hiyo.
''Mheshimiwa Hakimu naomba unipunguzie adhabu kwani hili ndilo kosa langu la kwanza, "alidai mshitakiwa huyo .
Hapo awali imedaiwa kuwa, mshitakiwa alitenda kosa hilo Aprili 4 mwaka huu, Sinza, mshitakiwa aliwachezea watoto wawili wa kike ambao wana umri wa miaka ( 8) na (10).
Swali:
Kama unajua adhabu ya kuwatia vidole watoto ni viboko 12 tu... kuna tishio la kuto kufanya hivyo? Na utetezi wa "mimi mtoto yatima" unatosha kupunguza uzito wa kosa?
Achapwa viboko kwa kuchezea nyeti za watoto
Na Rehema Maigala, Kinondoni
MSHITAKIWA Rahimu Issa (22), mkazi wa Sinza amehukumiwa adhabu ya viboko 12 kwa kosa la kuwatia vidole watoto wa kike wawili wenye umri wa miaka ( 8) na (10), bila ya ridhaa yao.
Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu Stahimili Ngwaisya baada ya kuona mshitakiwa anashahili adhabu ya viboko. Mshitakiwa huyo alichapwa viboko vyake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni na askari wa Magereza kama ilivyo sheria.
Hapo awali walalamikaji hao walitoa ushahidi wao walidai kuwa, mshitakiwa ilikuwa ni kawaida yake kuwaita nyumbani kwake na kuwachezea sehemu zao za siri na baada ya hapo anawapa sh. 50 kwa ajili ya kununulia pipi.
Walidai kuwa si kwao tu bali ilikuwa hata kwa watoto wengine ambao wao walikuwa hawajaenda kusema kwa wazazi wao.
Kabla ya Hakimu kutoa adhabu hiyo kali alimuamuru mshitakiwa ajitetee ili mahakama impunguzie adhabu itakayotolewa.
Mshitakiwa alidai kuwa yeye ni mtoto yatima hivyo anaomba apunguziwe adhabu itakayotolewa na mahakama hiyo.
''Mheshimiwa Hakimu naomba unipunguzie adhabu kwani hili ndilo kosa langu la kwanza, "alidai mshitakiwa huyo .
Hapo awali imedaiwa kuwa, mshitakiwa alitenda kosa hilo Aprili 4 mwaka huu, Sinza, mshitakiwa aliwachezea watoto wawili wa kike ambao wana umri wa miaka ( 8) na (10).
Swali:
Kama unajua adhabu ya kuwatia vidole watoto ni viboko 12 tu... kuna tishio la kuto kufanya hivyo? Na utetezi wa "mimi mtoto yatima" unatosha kupunguza uzito wa kosa?