Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,696
- 3,472
Habari wadau wenzangu wa siasa,
Tumeona wale 'kumi na tisa' wakiadhibiwa na chama chao kwa usaliti wa maazimio na misimamo ya chama chao kuhusu yaliyojiri 'Oktoba ishirini na nane' hukumu tuliyoitarajia. Swali langu ni kuhusu tuhuma za jinai zinazosemwa na viongozi wao!
Maana kosa lao mojawapo ni "kughushi nyaraka za chama na saini ya katibu mkuu" na kisheria ni jinai kughushi nyaraka! SWALI; VIPI KUHUSU TUHUMA ZA KUGHUSHI?
Maana lisiposhughulikiwa hili itaonekana hata adhabu waliyopewa ilikuwa kiini macho tu wakati viongozi walihusika kubariki zoezi!
Tumeona wale 'kumi na tisa' wakiadhibiwa na chama chao kwa usaliti wa maazimio na misimamo ya chama chao kuhusu yaliyojiri 'Oktoba ishirini na nane' hukumu tuliyoitarajia. Swali langu ni kuhusu tuhuma za jinai zinazosemwa na viongozi wao!
Maana kosa lao mojawapo ni "kughushi nyaraka za chama na saini ya katibu mkuu" na kisheria ni jinai kughushi nyaraka! SWALI; VIPI KUHUSU TUHUMA ZA KUGHUSHI?
Maana lisiposhughulikiwa hili itaonekana hata adhabu waliyopewa ilikuwa kiini macho tu wakati viongozi walihusika kubariki zoezi!