Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Habari wakuu.
Naomba kujua adhabu inayotolewa kisheria kwa taasisi yoyote nchini itakayoshindwa kupandisha bendera ya taifa aidha kwa makusudi, kujisahau au kwa sababu yoyote ile.
Natanguliza shukrani.
Naomba kujua adhabu inayotolewa kisheria kwa taasisi yoyote nchini itakayoshindwa kupandisha bendera ya taifa aidha kwa makusudi, kujisahau au kwa sababu yoyote ile.
Natanguliza shukrani.