sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 2,894
- 5,909
Habari!!
1 Nimepoteza leseni yangu ambayo imeisha muda wake..
2 yapata mwaka sasa tokea imeisha muda wake
3 taratibu zipi za kupata leseni mpya?
4 je kuna adhabu ya kuchelewa kurenew
leseni yangu ilikua na class a,b,d,c1, c2,c3, ntaipataje pia cheti changu kilipotea kwenye ajali
1 Nimepoteza leseni yangu ambayo imeisha muda wake..
2 yapata mwaka sasa tokea imeisha muda wake
3 taratibu zipi za kupata leseni mpya?
4 je kuna adhabu ya kuchelewa kurenew
leseni yangu ilikua na class a,b,d,c1, c2,c3, ntaipataje pia cheti changu kilipotea kwenye ajali