Adhabu gani ya kishenzy hivi mkuu?Hizo ni adhabu mkuu sio mauji.
Suala si adhabu ya kishenzi ama sio ila inabaki kuwa ni adhabu na si mauaji,wangetaka kufanya mauji si wangewauwa tu kimya kimya mbona ni kawaida kwa hizi serikali zetu kutesa watu na hadi kuwauwa na kimya kabisa.Adhabu gani ya kishenzy hivi mkuu?
Si amemweleza alotangulia aelewe Jaman? Lakini so kweli mmeambiwa muwaulize wasomao vitabu? Au aya ilimaanishaje?Wapi kwenye qur-an kumeelezea wa2 wasome biblia acha kufananisaha tui la nazi na maziwa ww ww fuata imani yako wacha ss tufuate dini
Wewe umeona sahihi mtu auawe hivyo? Jiulize nchi nyingine za kiislam kwa nn hazifanyi hivyo? Nikusaidie tu Ni kwa sababu zimeona mapungufu katika hilo.Wewe unaona hizo adhabu sio sawa ila wengine wanaona ni sahihi maana binaadamu tunatofautiana,kwani imani yako inasemaje mfano kuhusu mtu aliyeua?
Na Mohamed akawashauri muwaulize hao ulowatukana mkiwa na swali.MKUU UMEONGEA KI2 PANCTUAL SANA UNAJUA HAWA WA2 WANATAKA YAANI TUISHI KAMA DINI ZA MAGHARIBI HUKO YAANI USHOGA NDOA ZA JINSIA MOJA KWA WALE WAPENTECOSTE WA NCHI ZA NJE WAO WAONE POA 2 HAMUNA KI2 KAMA HIYO HOZO SHERIA ZA KWENYE MKUSANYIKO WA VITABU (BIBLE) MLIZITUNGA NYIE WENYEWE YAANI HATA AMRI NA MAFUNDISHO NDIYO NYIE MNAYACHAMBU What a dissrespect ??????????
Ila hakuwa mchungaji!!!!Kwani Baba wa Taifa wakati wa utawala wake hakuwahi kutekeleza adhabu ya kifo? Alikuwa mwarabu yule?!!!
Kwa hiyo wengine wasisaidiwe mpaka waislam wa Burma kwanza wasaidiwe?Hatuungi mkono yanayotokea Burma ila ungeanzisha uzi wako kutujuza hayo na huu uzi acha tutoe mawazo yetu.Na wale wanaochomwa moto na kuliwa nyama kule burma sio binadamu na ni waislamu wale