luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Wana habari wetu wana mihemko yao. Ajabu Afisa habar wa Namungo na yy kaingia ktk mkumbo huo huo
Nashangaa habari za Simba kuhusu Kichuya chanzo ni afisa habari wa NamungoWana habari wetu wana mihemko yao. Ajabu Afisa habar wa Namungo na yy kaingia ktk mkumbo huo huo
KUNA CHANZO KINADAI KUWA SIMBA WAMEPELKA MAOMBI YA KUPITIWA UPYA SHAURI LILE (KICHUA + FAINI YAO). KWA HIYO TUSUBIRI HILO SHAURI LIPITIWE UPYAKichuya alipewa adhabu ya kufungiwa (miezi 6) na sio faini.
Adhabu ya faini walipewa Simba.
Mimi nauliza juu ya uhalali wa Kichuya kucheza mechi hii wakati amefungiwa.
Kichuya atapewa adhabu hio au nyingne km simba itashindwa kulipa hio fain. Kwa sasa Simba wameomba mapitio fifa hvyo ile adhabu automatically haipo mpka fifa watakapoleta adhabu for the second time baada ya mapitioKichuya alipewa adhabu ya kufungiwa (miezi 6) na sio faini.
Adhabu ya faini walipewa Simba.
Mimi nauliza juu ya uhalali wa Kichuya kucheza mechi hii wakati amefungiwa.