Hao ni wanafunzi wanapewa adhabu na mwalimu wao.
Huyu mwalimu anatakiwa kupelekwa kule Kagera atoe adhabu kwa walimu wanaofanya uzembe wa kufelisha wanafunzi. naamini watanyooka badala ya kuwachapa viboko
Sinema hiyo aka bridge manyoya!!!Hao ni wanafunzi wanapewa adhabu na mwalimu wao.