Adhabu ninayoipata tangu nihamie chumba cha master, nipeni maujanja

Wakati mwengine mambo kama haya unatafuta hata fundi hapo mtaani unamshirikisha ili akupe njia ya kusawazisha baadhi ya mambo otherwise utadhalilika kama inavyotokea hapa.

Siyo kwamba humwagi maji mengi uchafu ukaenda hiyo hali inatokana na mgandamizo wa hewa kwenye shimo kubwa nje,obviously tatizo lipo kwenye line ya kutoka chooni (humo ndani) kwenda kwenye septic tank hawakuweka bomba mmabadala kuzuia harufu isirudi ndani,fanya hivi.

Kama pale kwenye shimo kubwa nje imewekwa bomba moja ita fundi akuwekee lingine hapo lilipotokea bomba la kusafirisha uchafu (namaanisha hapo karibu kabisa na ukuta wa choo chako cha ndani) hiyo hali itaisha.
yaan aniwekee bomba la kuangalia juu kama yale wanayowekaga kweny mashimo makubwa kwa ajir ya kutolea hewa?
 
Mkuu, hapa mimi nimekuelewa vizuri sana.

Lakini nina mashaka kama mleta mada atakuelewa. Anyway, nafikiri mleta mada anatakiwa alete fundi ili abadilishe discharge leni kutoka ya kawaida na awekewe ile yenye kufanana na shingo ya bata.

Ile pipe ya shingo ya bata inafaa zaidi kwasababu itaweza kuzuwia hewa inayo rudi ndani kwa kubakiza masalia ya maji kidogo yatakayo tuama na kufanya mgandamizo wa hewa isirudi ndani
nimemuelewa mkuu na wewe nimekuelewa zaid asante sana
 
Pole sana mkuu
giphy.gif
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Hivi vitu sio kukurupuka la sivyo hata nguo utakazovaa zitakuwa na harufu ya nnya, funga mlango mwaga maji mengi sio usubiri hadi umalize ukitoka Acha dirisha wazi funga mlango mengine yaendelee
 
harufu mbaya inaashiria ulaji wa hovyo...unakula ugoro?

kunywa maji ya kutosha daily; na believe me...kimba litatoka safi na harufu ya kawaida
Kwani ugoro inaingiliana vipi
 
Bwashee!
Jitahidi kuflash kila fundo linapotua kwenye sink usisubiri zigo lijae hapo na kukaa kwa muda, kuna choo changu cha familia ilikuwa akiingia mtu ukiwa sebleni utaipata fureshiii.

Nikafanya hivyo na nikasisitiza wengine wafanye hivyo, tatizo likapata suluhu.

Ni kero zaidi kusikia harufu ya mwingine, kama wewe harufu yako mwenyewe unaisikia kwa kiwango hicho basi akiingia mtu mwingine anaweza kuzimia.
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Mkuu unalalaje na mavi chumbani kwako?
 
Mtoa mada anasema anapata harufu ya gogo lake , maana yake ni harufu fresh aliyoiachia siyo harufu toka kwenye hifadhi.

Hapa ni kumshauri kununua manukato ya chooni. Aende supermakert atayakuta mazagazaga yote, kero yote itakwisha cha msingi usafi ni muhimu bila kusahau maji ya kutosha
 
Wakati mwengine mambo kama haya unatafuta hata fundi hapo mtaani unamshirikisha ili akupe njia ya kusawazisha baadhi ya mambo otherwise utadhalilika kama inavyotokea hapa.

Siyo kwamba humwagi maji mengi uchafu ukaenda hiyo hali inatokana na mgandamizo wa hewa kwenye shimo kubwa nje,obviously tatizo lipo kwenye line ya kutoka chooni (humo ndani) kwenda kwenye septic tank hawakuweka bomba mmabadala kuzuia harufu isirudi ndani,fanya hivi.

Kama pale kwenye shimo kubwa nje imewekwa bomba moja ita fundi akuwekee lingine hapo lilipotokea bomba la kusafirisha uchafu (namaanisha hapo karibu kabisa na ukuta wa choo chako cha ndani) hiyo hali itaisha.
Ajenge nyumba ya watu?

Nafikiri angehamia nyumba yenye choo ulichotaja
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Gogo lako mwenyewe linakunukiaje? Hebu kuwa siliazi bwana!
 
nafikri mi mfumo wa maji na bomba la kutolea hea.Sehem unayokaa inatoka maji? choo chako ni cha kukaa au kuchutama?
nunua persil unatumbukiza ndan ya flash tank inakua ina dislove taratibu
 
Mkuu, kama ukiweza mwambie mwenye nyumba abadikishe mfumo wa maji taka na aweke hiyo pipe Kama ni choo cha kuchuchumaa, lakini kama ni choo cha kukaa aweke cha kufanana na hiyo niliyo ambatanisha pichaView attachment 1591530View attachment 1591531
lakin hata Sink za kisasa hizi za kukaa tayari inakua na P trap kwa ndan hata kama outlet sio ya P.
muhimu sana kama unajenga kutafuta fundi mzuri wa plumbing na septic .ukikosea setting utalia
 
Ajenge nyumba ya watu?

Nafikiri angehamia nyumba yenye choo ulichotaja
Mkuu gharama za kuhama na kuweka hiyo PVC pipe bora aweke,anunue vifaa pipe low quality ni 13,000/= maana kweli nyumba siyo yake,T elbow pvc ya kawaida 3,500/=,clamps za kushikiza bomba kwenye ukuta anunue mbili 4,000/= na cement ya kupima sijui inaanzia bei gani but haifiki 5,000/= na fundi ampe 10K.

Kwenye haya majumba ya kupanga ukitaka uende sawa na mwenye nyumba vitu vidogo vidogo kama hivi unamaliza mwenyewe.
 
Back
Top Bottom