MONSI WENGA
Member
- Aug 7, 2011
- 51
- 34
Tarehe 03/02/2012 ni sikukuu ya sheria "LAW DAY" ambapo wafanya kazi wote wa Mahakama na taasisi zinazohusika na Mahakama wanajumuika pamoja ili kujikumbusha na kujizatiti juu ya maadili mema na utendaji bora wa kazi na utoaji haki Nchini. Theme kwa mwaka huu ni; "ADHABU MBADALA KTK KESI ZA JINAI NA FAIDA ZAKE KTK JAMII". Nawasilisha kwenu wadau tujadili.