Moseley
Senior Member
- Jul 10, 2010
- 187
- 94
JF inajitanabaisha ya kwamba "It is a home of great thinkers"..
Lakini hili limekuwa si kweli kutokana na ukweli kwamba, kuna watu wanatoa maoni, hoja na ushauri wa kipuuzi kabisa. Ingawa si wote..
Kuna watu wanapatwa na matatizo mbalimbali, yakiwemo ya ki-ndoa, kielimu, kiafya, ki saikolojia, ki siasa nk.. Watu hawa huja hapa kutaka ushauri ili uweze kuwasaidia ktk maisha yao. Badala yake wanapewa uharo na ushauri usiofaa. Hii inasababisha kuwaongezea matatizo watu hao, badala ya kuwasaidia.
Pia kuna watu huanzisha hoja za ajabu ajabu kabisa, kiasi ambacho wanachanganya akili za watu..
Pendekezo:
MODs waweke utaratibu wa kugawa credit kwa wanaotoa point nzuri hapa JF, pia credit kwa watoa pumba. Hii inaweza ikawekwa kama poll flani, I mean, kama mtu ataongea point basi kuwe na button kwenye profile yake ambayo uki-click itamwongezea credit katika upande huo..
Na kama mtu ataongea pumba kuwe na sehemu ya ku-click ili kumwongezea point katika utoaji pumba..
Baada ya hapo, kuwe na utaratibu ambao kila jina la member lioneshe yeye ni mtoa pumba au mtoa point kwa kiwango gani..
Tunaweza tukatumia rangi au asilimia.. Mfano mtu akiwa na rangi nyekundu, ina maana we ni mtoa pumba mkubwa. Rangi nyeupe, mtoa point mzuri..
FAIDA YA HUU UTARATIBU:
1. Itasaidia kupunguza frustration kwa watu wanaokuwa wanaomba ushauri hapa JF, maana kuna watu tunawaongezea frustration kwa kutoa ushauri mbovu kabisa.
2. Itapunguza utoaji pumba humu ndani.
3. Watoa pumba watakuwa wanajulikana, kiasi kwamba, mtu atakaeomba ushauri toka JF, ataweza kufahamu kuwa mwana-JF aliemshauri si mtoa ushauri mzuri. Au mwana-JF alietoa hoja flani, si mtu mwenye kutoa hoja nzuri
NAWAKILISHA..
Lakini hili limekuwa si kweli kutokana na ukweli kwamba, kuna watu wanatoa maoni, hoja na ushauri wa kipuuzi kabisa. Ingawa si wote..
Kuna watu wanapatwa na matatizo mbalimbali, yakiwemo ya ki-ndoa, kielimu, kiafya, ki saikolojia, ki siasa nk.. Watu hawa huja hapa kutaka ushauri ili uweze kuwasaidia ktk maisha yao. Badala yake wanapewa uharo na ushauri usiofaa. Hii inasababisha kuwaongezea matatizo watu hao, badala ya kuwasaidia.
Pia kuna watu huanzisha hoja za ajabu ajabu kabisa, kiasi ambacho wanachanganya akili za watu..
Pendekezo:
MODs waweke utaratibu wa kugawa credit kwa wanaotoa point nzuri hapa JF, pia credit kwa watoa pumba. Hii inaweza ikawekwa kama poll flani, I mean, kama mtu ataongea point basi kuwe na button kwenye profile yake ambayo uki-click itamwongezea credit katika upande huo..
Na kama mtu ataongea pumba kuwe na sehemu ya ku-click ili kumwongezea point katika utoaji pumba..
Baada ya hapo, kuwe na utaratibu ambao kila jina la member lioneshe yeye ni mtoa pumba au mtoa point kwa kiwango gani..
Tunaweza tukatumia rangi au asilimia.. Mfano mtu akiwa na rangi nyekundu, ina maana we ni mtoa pumba mkubwa. Rangi nyeupe, mtoa point mzuri..
FAIDA YA HUU UTARATIBU:
1. Itasaidia kupunguza frustration kwa watu wanaokuwa wanaomba ushauri hapa JF, maana kuna watu tunawaongezea frustration kwa kutoa ushauri mbovu kabisa.
2. Itapunguza utoaji pumba humu ndani.
3. Watoa pumba watakuwa wanajulikana, kiasi kwamba, mtu atakaeomba ushauri toka JF, ataweza kufahamu kuwa mwana-JF aliemshauri si mtoa ushauri mzuri. Au mwana-JF alietoa hoja flani, si mtu mwenye kutoa hoja nzuri
NAWAKILISHA..