ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
mimi nitamuomba nitembee na kaka au mdogo wake
tobaa, we ni nomaa yaani unatumia jino kwa jino!
mimi nitamuomba nitembee na kaka au mdogo wake
Mbali na kumtetea, au kumtakia adhabu kubwa kabisa,mimi sioni
kwa nini umwadhibu? Wengine tuna myoyo ya kusamehe. lol
Adhabu has to be done with a punitive intention.Kusamehe nayo ni adhabu unajua? Ila kama ni kubwa sana au ndogo sana sijui.
kwa kiasi fulani matatizo tunayaleta wenyewe wenye ndoa! hebu fikiria unamleta mdogo wako toka kijijini humpakingii mpango wa maendeleo wa maana unamuweka kama mfanya kazi wandani kibaya zaidi unamtenga na familia yako kwa kiasi fulani licha ya kumwamuru amuhudumie kila kitu shemeji yake! unategemea nini? achilia mbali unaruhsu uvaaji wa ajabu ajabu ndani kwako na closed joke na mizinga au msaada wa moja kwa moja shemeji kwa shemeji uafikiri nini kitatokea? samehe kwa kua ukihesabu huna mume wenzako watamchukua na kaa ukijua wanawake siku zote ni wapotezaji zaidi kuliko wanaume samehe haraka sana (7x70=490-1=489 bado zipo za kusamehe wewe unashindwaje kuvumilia?
mimi nasamehe tu
ila cha moto atakiona atahama huko ndani mwenyewe
daah huwezi amini tangu mda ule nafikiria bado sijapata jibu... ngoja niendelee kufikiria kidogo