Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,627
- 154,987
Kuna mpangaji mwenzetu kamfumania kaka yake (toka nitoke) akizini na mke wa mdogo wake.
Je ni adhabu gani ambayo anastahili mke wa huyu mpangaji wetu na pia kaka wa huyu mpangaji wetu?
Adhabu za hapa duniani na pia mbinguni?
Je ni adhabu gani ambayo anastahili mke wa huyu mpangaji wetu na pia kaka wa huyu mpangaji wetu?
Adhabu za hapa duniani na pia mbinguni?