Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Kumekuwa na kampeni nyingi za kutetea haki za watoto mashuleni na mahali pengine popote.
Moja kati ya suala tata katika haki za watoto ni kama watoto waadhibiwe wanapokosa ua wasiadhibiwe kabisa.
Na kama watoto wanapaswa kuadhibiwa wakosapo, waadhibiwe je na adhabu zipi zinafaa kwa watoto hadi umri wa miaka 18.
Naomba mawazo ya wana jamii kuhusu jambo hili tata.
Moja kati ya suala tata katika haki za watoto ni kama watoto waadhibiwe wanapokosa ua wasiadhibiwe kabisa.
Na kama watoto wanapaswa kuadhibiwa wakosapo, waadhibiwe je na adhabu zipi zinafaa kwa watoto hadi umri wa miaka 18.
Naomba mawazo ya wana jamii kuhusu jambo hili tata.