Kamende
JF-Expert Member
- Mar 1, 2008
- 416
- 45
Wakuu heshima kwenu.
Nimelazimika kuja na hoja ya kuitaka serikali ichukue hatua za kukusudia kuwasaidia wafanyakazi wanaotoka maofisini jioni ili wafike majumbani kwa kwa wakati. Hebu fikiria mtu anatoka Posta saa 12 jioni na kwa vyovyote atafika Kiluvya saa 4 usiku ama saa 5 on busiest days.
Asubuhi kuna kanafuu kutokana na malori kuzuiliwa kutoka mjini.
Wakuu mnaonaje kama tukiishauri serikali kwamba jioni kuanzia saa 11 jioni hadi saa 3 kamili usiku malori yasiruhusiwe kutoka jijini kwenda Chalinze as malori hayo ndo yanayochangia sana kuchelewesha safari za wafanyakazi kurudi majumbani kupitia barabara ya Morogoro?. Lori likipanda kwenye tuta linachukua dakika mbili nzima kumaliza kulipita, nk.
Naomba kuwasilisha.
Nimelazimika kuja na hoja ya kuitaka serikali ichukue hatua za kukusudia kuwasaidia wafanyakazi wanaotoka maofisini jioni ili wafike majumbani kwa kwa wakati. Hebu fikiria mtu anatoka Posta saa 12 jioni na kwa vyovyote atafika Kiluvya saa 4 usiku ama saa 5 on busiest days.
Asubuhi kuna kanafuu kutokana na malori kuzuiliwa kutoka mjini.
Wakuu mnaonaje kama tukiishauri serikali kwamba jioni kuanzia saa 11 jioni hadi saa 3 kamili usiku malori yasiruhusiwe kutoka jijini kwenda Chalinze as malori hayo ndo yanayochangia sana kuchelewesha safari za wafanyakazi kurudi majumbani kupitia barabara ya Morogoro?. Lori likipanda kwenye tuta linachukua dakika mbili nzima kumaliza kulipita, nk.
Naomba kuwasilisha.