Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Adha ya mvua jijini imenifanya nimkimbize wifi/shemeji yenu uswazi maana nimeona jamaa wanao toa msaada wa kumvusha kwenye madibwi kama wanafaidi hivi. Bora nimsogeze mjini tu.
Hapa jamaa akiwa amebeba je hamuoni kama jamaa anafaudu kimtindo? Angalieni mkono huo.
Hapa jamaa akiwa amebeba je hamuoni kama jamaa anafaudu kimtindo? Angalieni mkono huo.