N nyembeason Member May 4, 2009 44 21 Dec 13, 2016 #1 Tuache picha ziseme zenyewe wakuu. Hapa ni manispaa ya mji wa Morogoro, si kijijini.
kayaman JF-Expert Member Aug 3, 2013 4,517 10,369 Dec 13, 2016 #2 Moro ni mji wenye jina kubwa ila bado uko nyuma sana kimaendeleo na harakati za biashara unazidiwa hats na kahama!
Moro ni mji wenye jina kubwa ila bado uko nyuma sana kimaendeleo na harakati za biashara unazidiwa hats na kahama!
Mwandumi Senior Member Nov 30, 2016 149 85 Dec 13, 2016 #3 Hiz picha hata dsm pia unaweza zipata mitaa ya ubungo maji a.k.a mchichani usingizie moro tu