Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,711
- 4,642
Nawasalimu wana forum.
hawa watu wa Adexec oil and gas company walitoa nafasi 3 za administrative officers niliomba sasa wameniita kwenye kile kinachoitwa interview na workshop,I have to pay 50,000 za accommodation na meals,interview 20th-12-2013.
kuna dalili njema hapa wakuu?mwongozo tafadhali.
updates :
huyu mtu katoa number yake ukimpigia simu he sounds innocent,na hli tangazo limebandikwa katika blog ya issa michuzi 27th-November-2013,mtu mwingine kasema ni matapeli na wana kesi polisi!
ninazidi kufuatilia kuujua mwisho wake.
hawa watu wa Adexec oil and gas company walitoa nafasi 3 za administrative officers niliomba sasa wameniita kwenye kile kinachoitwa interview na workshop,I have to pay 50,000 za accommodation na meals,interview 20th-12-2013.
kuna dalili njema hapa wakuu?mwongozo tafadhali.
updates :
huyu mtu katoa number yake ukimpigia simu he sounds innocent,na hli tangazo limebandikwa katika blog ya issa michuzi 27th-November-2013,mtu mwingine kasema ni matapeli na wana kesi polisi!
ninazidi kufuatilia kuujua mwisho wake.