huyu mhabeshi bado yupo hawajamuwekea fitina tu?
Aden Rage ashinda ubunge tabora kwa ticket ya CCM na CCM imecshinda kata 24 kati ya 25 chadema wamshinda kata ya misha
Simba oyeeee
Mnaleta wafungwa sasa?
Heshima ya bunge iko wapi hadi watu felonies kama huyu nae ni mbunge?
mnaleta wafungwa sasa?
Heshima ya bunge iko wapi hadi watu felonies kama huyu nae ni mbunge?
Mnaleta wafungwa sasa?
Heshima ya bunge iko wapi hadi watu felonies kama huyu nae ni mbunge?
hivi mfungwa huwa anapoteza haki ya kuchagua au kuchaguliwa?????