sammosses JF-Expert Member Jan 24, 2011 1,682 1,110 Jul 30, 2012 #41 Hizo ndizo political strategics,ilamkumbuke Lissu ni mwanasheria ana tumia taaluma yake kumtega adui yake,usipokuwa makini umekwisha
Hizo ndizo political strategics,ilamkumbuke Lissu ni mwanasheria ana tumia taaluma yake kumtega adui yake,usipokuwa makini umekwisha
Pendael laizer JF-Expert Member Jan 14, 2012 958 101 Jul 30, 2012 #42 ruttashobolwa said: Kweli lissu ni mjanja sana amewaweka kwenye mtego na lazima wajichanganye! Click to expand... Anajua ni mambumbu tu na hawawezi kumzidi kwa vifungu na kanuni za bunge au ndani katiba yetu.
ruttashobolwa said: Kweli lissu ni mjanja sana amewaweka kwenye mtego na lazima wajichanganye! Click to expand... Anajua ni mambumbu tu na hawawezi kumzidi kwa vifungu na kanuni za bunge au ndani katiba yetu.
Mutwe Member Apr 7, 2012 25 6 Jul 30, 2012 #43 Mwambie na si tunaomba mwongozo OKWI yuko wapi na mbona kilasiku vipigotu, ajiuzulu
THINKINGBEING JF-Expert Member Aug 9, 2010 2,779 1,304 Jul 30, 2012 #44 Uongozi wa Simba usipomuondoa huyu mtu madarakani na kumfutia uanachama mara moja nahamia AZAM.siwezi kuwa abiria kwenye chombo chenye nahodha Juha.
Uongozi wa Simba usipomuondoa huyu mtu madarakani na kumfutia uanachama mara moja nahamia AZAM.siwezi kuwa abiria kwenye chombo chenye nahodha Juha.