Rage atapeleka lini rambi rambi za mafisango congo?
Kwani Tundu Lissu wakati anawataja hao wala rushwa alikuwa ndani ya ukumbi wa Bungei?
mwongozo umekujaje?
Kwani Tundu Lissu wakati anawataja hao wala rushwa alikuwa ndani ya ukumbi wa Bungei?
mwongozo umekujaje?
Mbumbumbu hawa wameingiaje bungeni....yaani yeye kuwa na bastola basi kamaliza kila kitu
Amekula rambi rambi huyu mjane anahangaika kuzipataHeee...! Kwani hajapeleka bado? Inamaana amezitia ndani?
Rage atapeleka lini rambi rambi za mafisango congo?